MATOKEO YA UCHAGUZI WA CHADEMA

Katika mlolongo wa uchaguzi uliokuwa ukiendelea chama cha demokrasia na maendeleo  CHADEMA, katika ukumbi wa mlimani city. Hatimaye siku ya jana ilikuwa ni siku ya kuchagua viongozi  wakuu wa chama kitaifa. Nafasi ya mwenyekiti taifa ilikuwa na wagombea wawili, mh. Freeman Mbowe  na mh.  cecil David Mwambe.  



Katika nafasi ya makamu mwenyekiti  ilikuwa na wagombea  watatu  mmoja akigombea nafasi ya Zanzibar ambaye ni mh.  Said Issa Mohammed. Nafasi ya Tanzania bara ilikuwa na wagombea wawili  mh.  Tundu Antiphas lissu na mh.  Sophia Hebron Mwakagenda





Wajumbe wa kamati kuu walipiga kura kwa demokrasia yote na kwa amani na kisha kuchagua viongozi waliowachagua


MATOKEO

Makamu zanzibar MH.  SAID ISSA MOHAMMED kuwa za ndio ni  836 hapana ni 95
Makamu Tanganyika. TUNDU LISSU KURA 930
MH. FREEMAN MBOWE KURA 886 CECIL MWAMBE KURA 59


Hivyo FREEMAN MBOWE ataendelea kuwa mwenyekiti kwa miaka mitano zaidi pamoja na makamu wake Tundu Lisu kwa Tanzania Bara na makamu wake Said Issa Mohammed kwa Zanzibar. 

No comments

Theme images by jangeltun. Powered by Blogger.