KAULI YA PHILIP MANGULA KWA VIJANA


Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Mhe.Philip Mangula amewataka vijana wanaopata nafasi za mafunzo kwenye vyuo mbalimbali nchini kuachana na mawazo ya kuajiriwa badala yake wajikite kusaka maarifa na taarifa ili ziwasaidie kujiajiri.

Nini maoni yako

No comments

Theme images by jangeltun. Powered by Blogger.