Moto unawaka Membe, Kinana, Makamba waitwa kamati ya maadili

BERNARD MEMBE

YUSUF MAKAMBA

Abdulrahman Kinana


BREAKING NEWS : Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewaita kwenye Kamati ya Usalama na Maadili ya Taifa ya chama hicho, wanachama wake watatu ambao ni Abdulrahman Kinana, Yusuf Makamba na Benard Membe ili kujibu tuhuma zinazowakabili.

No comments

Theme images by jangeltun. Powered by Blogger.