BADILI MUONEKANO WA ANDROID YAKO KUWA WINDOWS 10
Morning wadau wangu wa nguvu natumaini mko poa. Nawatakia Christmas njema na heri ya mwaka mpya tunapojiandaa kuupokea.
Leo master pizo nawaletea kitu kimoja kizuri sana kwa watumiaji wa android haya ni maujanja ujanja katika ulimwengu wa wajanja na nitaendelea kukuetea vitu vizito zaidi. Bila kupoteza muda leo nitakuonyesha app ambayo itabadili muonekano wa kawaida wasimu yako kuwa muonekano computer inayotumia window 10 na itaonekana kama hapo kwenye picha 👇
Hapo safi eeee 😂 na hapa je 👇
Leo master pizo nawaletea kitu kimoja kizuri sana kwa watumiaji wa android haya ni maujanja ujanja katika ulimwengu wa wajanja na nitaendelea kukuetea vitu vizito zaidi. Bila kupoteza muda leo nitakuonyesha app ambayo itabadili muonekano wa kawaida wasimu yako kuwa muonekano computer inayotumia window 10 na itaonekana kama hapo kwenye picha 👇
Hapo safi eeee 😂 na hapa je 👇
Hapo naona safi sasa
Ili kuipata app hiyo unatakiwa kubonyeza hapo ➡ Download here
Maliza mwaka vyema ukiwa super usisahau kuweka comment yako hapo chini
No comments