Siku 20 zaongezwa usajili kwa alama za vidole

Rais John Magufuli ameongeza siku 20 kuanzia kuanzia Januari 1-20 kwa watu wote watakaoshindwa kusajili laini zao za simu ifikapo Desemba 31. Pia, leo Desemba 27 Rais amefanya usajili wa laini yake kwa kutumia alama za vidole

No comments

Theme images by jangeltun. Powered by Blogger.