ONYO KWA MAWAKALA WANAOSAJILI LAINI KWA ALAMA ZA VIDOLE


TCRA yawaonya baadhi ya mawakala wa simu Kilimanjaro wanaosajili laini za simu kwa alama za vidole mitaani kuendelea kuwatoza wananchi fedha kiasi cha shilingi elfu moja kwa kila laini  wakati agizo la serikali linawaelekeza kutoa huduma hiyo bure.

Usajili wa laini ni Bure mikoa yote usilipe hata mia

No comments

Theme images by jangeltun. Powered by Blogger.